Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 125:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 125 Wale wanaomtegemea Yehova+

      Ni kama Mlima Sayuni,+ ambao hauwezi kutikiswa, bali hukaa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Isaya 42:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova mwenyewe atatokea kama mwanamume mwenye nguvu.+ Ataamsha bidii kama shujaa wa vita.+ Atapaaza sauti, ndiyo, atapiga kelele za vita;+ atajionyesha kuwa mwenye nguvu zaidi juu ya adui zake.+

  • Zekaria 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Katika siku hiyo Yehova atakuwa ulinzi kuzunguka wakaaji wa Yerusalemu;+ na yeye anayejikwaa kati yao atakuwa katika siku hiyo kama Daudi,+ na nyumba ya Daudi kama Mungu,+ kama malaika wa Yehova mbele yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki