1 Mambo ya Nyakati 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+ Zaburi 33:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana moyo wetu hushangilia katika yeye;+Kwa maana tumelitegemea jina lake takatifu.+ Zaburi 118:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ni afadhali kupata kimbilio katika Yehova+Kuliko kumtegemea mtu wa udongo.+ Methali 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa yule mtu hodari anayemtegemea Yehova, na ambaye Yehova amekuwa uhakika wake.+
20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+