1 Mambo ya Nyakati 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jisifuni katika jina+ lake takatifu,+Moyo wa wale wanaomtafuta Yehova na ushangilie.+ Zaburi 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.Moyo wangu umemtegemea yeye,+Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+
7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.Moyo wangu umemtegemea yeye,+Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+