Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa katika usalama.+ Na hili ndilo jina lake atakaloitwa, Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+

  • Yoeli 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kutoka Sayuni Yehova atanguruma, kutoka Yerusalemu atatoa sauti yake.+ Na mbingu na dunia zitatikisika;+ bali Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+ na ngome kwa wana wa Israeli.+

  • Zekaria 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami mwenyewe nitakuwa kwake,” asema Yehova, “ukuta wa moto kuzunguka pande zote,+ nami nitakuwa utukufu ndani yake.” ’ ”+

  • Zekaria 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova wa majeshi mwenyewe atawalinda wao, nao watakula+ na kuyatiisha mawe ya kombeo. Nao watakunywa+—wafanye kelele—kana kwamba kuna divai; nao watajazwa kama bakuli, kama pembe za madhabahu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki