Mwanzo 49:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yuda ni mwana-simba.+ Mwanangu, utapanda kutoka mawindoni. Aliinama, alijinyoosha kama simba, na kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+ Hesabu 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Aliinama chini, akalala kama simba,Na, kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+Wale wanaokubariki ndio waliobarikiwa,+Nao wale wanaokulaani ndio waliolaaniwa.”+ Methali 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 simba, ambaye ndiye mwenye nguvu zaidi kati ya wanyama na wala harudi nyuma mbele ya yeyote;+
9 Yuda ni mwana-simba.+ Mwanangu, utapanda kutoka mawindoni. Aliinama, alijinyoosha kama simba, na kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+
9 Aliinama chini, akalala kama simba,Na, kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+Wale wanaokubariki ndio waliobarikiwa,+Nao wale wanaokulaani ndio waliolaaniwa.”+