Hosea 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Watatembea kwa kumfuata Yehova.+ Atanguruma kama simba;+ kwa maana yeye mwenyewe atanguruma,+ na wana watakuja wakitetemeka kutoka upande wa magharibi.+ Amosi 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kuna simba ambaye amenguruma!+ Ni nani hataogopa? Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe amesema! Ni nani ambaye hatatoa unabii?’+
10 Watatembea kwa kumfuata Yehova.+ Atanguruma kama simba;+ kwa maana yeye mwenyewe atanguruma,+ na wana watakuja wakitetemeka kutoka upande wa magharibi.+
8 Kuna simba ambaye amenguruma!+ Ni nani hataogopa? Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe amesema! Ni nani ambaye hatatoa unabii?’+