Yeremia 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nilisema: “Sitamtaja tena, wala sitasema tena katika jina lake.”+ Na moyoni mwangu hali hiyo ikawa kama moto unaowaka ambao umefungiwa ndani ya mifupa yangu; nami nikachoka kujizuia, nami sikuweza kuivumilia.+ Amosi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Yehova akanichukua nisifuatane na kundi tena, na Yehova akaendelea kuniambia, ‘Nenda, watolee unabii watu wangu Israeli.’+ Matendo 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”+ Matendo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Nendeni, na, mkiisha kusimama katika hekalu, semeni na watu maneno yote juu ya maisha haya.”+
9 Nami nilisema: “Sitamtaja tena, wala sitasema tena katika jina lake.”+ Na moyoni mwangu hali hiyo ikawa kama moto unaowaka ambao umefungiwa ndani ya mifupa yangu; nami nikachoka kujizuia, nami sikuweza kuivumilia.+
15 Naye Yehova akanichukua nisifuatane na kundi tena, na Yehova akaendelea kuniambia, ‘Nenda, watolee unabii watu wangu Israeli.’+