Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nilisema: “Sitamtaja tena, wala sitasema tena katika jina lake.”+ Na moyoni mwangu hali hiyo ikawa kama moto unaowaka ambao umefungiwa ndani ya mifupa yangu; nami nikachoka kujizuia, nami sikuweza kuivumilia.+

  • Amosi 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Yehova akanichukua nisifuatane na kundi tena, na Yehova akaendelea kuniambia, ‘Nenda, watolee unabii watu wangu Israeli.’+

  • Matendo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”+

  • Matendo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Nendeni, na, mkiisha kusimama katika hekalu, semeni na watu maneno yote juu ya maisha haya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki