Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana nimejaa maneno;

      Roho imeleta mkazo+ juu yangu ndani ya tumbo langu.

  • Zaburi 39:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Moyo wangu ukawa na moto ndani yangu;+

      Wakati wa kuugua kwangu moto ukaendelea kuwaka.

      Nilisema kwa ulimi wangu:

  • Yeremia 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nimejawa na ghadhabu ya Yehova. Nimechoka kujizuia.”+

      “Imwage wakati uleule juu ya mtoto aliye barabarani+ na juu ya kikundi cha vijana walio rafiki za karibu; kwa maana wao pia watakamatwa, mwanamume pamoja na mke wake, mzee pamoja na mtu mwenye siku nyingi.+

  • Amosi 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kuna simba ambaye amenguruma!+ Ni nani hataogopa? Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe amesema! Ni nani ambaye hatatoa unabii?’+

  • Matendo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema juu ya mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”+

  • Matendo 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi, Sila+ na Timotheo+ pia waliposhuka kutoka Makedonia, Paulo akaanza kushughulika sana na lile neno, akiwatolea Wayahudi ushahidi ili kuthibitisha kwamba Yesu ndiye Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki