Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuogopesha kwa mfalme ni mngurumo kama ule wa mwana-simba mwenye manyoya shingoni.+ Mtu yeyote anayejiletea hasira yake anaitendea dhambi nafsi yake mwenyewe.+

  • Methali 30:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 simba, ambaye ndiye mwenye nguvu zaidi kati ya wanyama na wala harudi nyuma mbele ya yeyote;+

  • Yeremia 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Amepanda kama simba kutoka katika kichaka chake,+ na yule anayeyaangamiza mataifa ameondoka;+ ametoka mahali pake ili kuifanya nchi yako kuwa kitu cha kushangaza. Majiji yako yatabomoka hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+

  • Amosi 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema:

      “Yehova—atanguruma kutoka Sayuni,+ naye atatoa sauti yake kutoka Yerusalemu;+ navyo viwanja vya malisho vya wachungaji vitaomboleza, na kilele cha Karmeli kitakauka.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki