2 Sasa palikuwa na mtu fulani katika Maoni,+ na kazi yake ilikuwa katika Karmeli.+ Na mtu huyo alikuwa mkuu sana, naye alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja; naye alikuwa na kazi ya kukata+ kondoo zake manyoya kule Karmeli.
9 Nchi imeomboleza, imenyauka.+ Mlima Lebanoni umefedheheshwa;+ umeoza. Sharoni+ imekuwa kama nchi tambarare ya jangwani; na Bashani na Karmeli inakung’uta majani yao.+