Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sasa palikuwa na mtu fulani katika Maoni,+ na kazi yake ilikuwa katika Karmeli.+ Na mtu huyo alikuwa mkuu sana, naye alikuwa na kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja; naye alikuwa na kazi ya kukata+ kondoo zake manyoya kule Karmeli.

  • Isaya 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nchi imeomboleza, imenyauka.+ Mlima Lebanoni umefedheheshwa;+ umeoza. Sharoni+ imekuwa kama nchi tambarare ya jangwani; na Bashani na Karmeli inakung’uta majani yao.+

  • Nahumu 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Anakemea bahari,+ naye huikausha; huikausha mito yote.+

      Bashani na Karmeli zimekauka,+ na ua la Lebanoni limekauka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki