1 Samweli 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa kulikuwa na mtu fulani kule Maoni+ aliyekuwa akifanya kazi Karmeli.*+ Mtu huyo alikuwa tajiri sana; alikuwa na kondoo 3,000 na mbuzi 1,000, naye alikuwa akiwakata kondoo wake manyoya huko Karmeli. 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 25:2 w09 7/1 19 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:2 Igeni, kur. 77-78 Mnara wa Mlinzi,7/1/2009, uku. 19
2 Sasa kulikuwa na mtu fulani kule Maoni+ aliyekuwa akifanya kazi Karmeli.*+ Mtu huyo alikuwa tajiri sana; alikuwa na kondoo 3,000 na mbuzi 1,000, naye alikuwa akiwakata kondoo wake manyoya huko Karmeli.