1 Samweli 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo wakaondoka, wakaenda Zifu+ kumtangulia Sauli, huku Daudi na watu wake wakiwa katika nyika ya Maoni+ katika Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni.
24 Kwa hiyo wakaondoka, wakaenda Zifu+ kumtangulia Sauli, huku Daudi na watu wake wakiwa katika nyika ya Maoni+ katika Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni.