1 Samweli 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi wakaondoka na kumtangulia Sauli kwenda Zifu,+ na wakati huo Daudi na wanaume wake walikuwa katika nyika ya Maoni,+ kule Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni.
24 Basi wakaondoka na kumtangulia Sauli kwenda Zifu,+ na wakati huo Daudi na wanaume wake walikuwa katika nyika ya Maoni,+ kule Araba+ upande wa kusini wa Yeshimoni.