-
Yoshua 15:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Huo ndio uliokuwa urithi wa watu wa kabila la Yuda kulingana na koo zao.
-
-
1 Samweli 25:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Sasa kulikuwa na mtu fulani kule Maoni+ aliyekuwa akifanya kazi Karmeli.*+ Mtu huyo alikuwa tajiri sana; alikuwa na kondoo 3,000 na mbuzi 1,000, naye alikuwa akiwakata kondoo wake manyoya huko Karmeli. 3 Mtu huyo aliitwa Nabali,+ na mke wake aliitwa Abigaili.+ Mke huyo alikuwa mwenye busara* na mrembo, lakini mume wake, Mkalebu,+ alikuwa mkali na mwenye tabia mbaya.+
-