17 Sasa amua utakalofanya, kwa maana kwa hakika bwana wetu ataangamizwa pamoja na nyumba yake yote,+ naye ni mtu asiyefaa kitu* hivi+ kwamba hakuna mtu anayeweza kuzungumza naye.”
21 Sasa Daudi alikuwa akisema: “Ilikuwa kazi ya bure kulinda mali yote ya mtu huyu nyikani. Hakuna kitu chake hata kimoja kilichopotea,+ lakini ananilipa uovu kwa wema niliomfanyia.+