1 Samweli 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Daudi alikuwa amesema: “Ni kwa ajili ya kukatishwa tamaa tu kwamba nililinda kila kitu cha mtu huyu nyikani wala hakuna hata kitu kimoja kati ya vyote vilivyo vyake ambacho kilipotea,+ na bado ananilipa uovu kwa ajili ya wema.+
21 Naye Daudi alikuwa amesema: “Ni kwa ajili ya kukatishwa tamaa tu kwamba nililinda kila kitu cha mtu huyu nyikani wala hakuna hata kitu kimoja kati ya vyote vilivyo vyake ambacho kilipotea,+ na bado ananilipa uovu kwa ajili ya wema.+