1 Samweli 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini Nabali akawajibu watumishi wa Daudi na kusema: “Daudi ni nani,+ na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wanaotoroka, kila mmoja kutoka mbele ya bwana wake, wamekuwa wengi.+ Zaburi 35:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hunilipa mema yangu kwa mabaya,+Hasara kwa nafsi yangu.+ Zaburi 38:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao walikuwa wakinilipa mema yangu kwa mabaya;+Wakaendelea kushindana nami kwa sababu ya kufuatilia kwangu mambo yaliyo mema.+ Zaburi 109:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao wananitendea mabaya kwa yaliyo mema+Na chuki kwa upendo wangu.+ Methali 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu anayelipa ubaya kwa wema,+ ubaya hautaondoka nyumbani mwake.+
10 Lakini Nabali akawajibu watumishi wa Daudi na kusema: “Daudi ni nani,+ na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wanaotoroka, kila mmoja kutoka mbele ya bwana wake, wamekuwa wengi.+
20 Nao walikuwa wakinilipa mema yangu kwa mabaya;+Wakaendelea kushindana nami kwa sababu ya kufuatilia kwangu mambo yaliyo mema.+