1 Samweli 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na sasa nimesikia kwamba una wakataji-manyoya. Sasa wachungaji wako walikuwa pamoja nasi.+ Hatukuwasumbua,+ wala hakuna chochote chao ambacho kilipotea siku zote walizokuwa katika Karmeli.
7 Na sasa nimesikia kwamba una wakataji-manyoya. Sasa wachungaji wako walikuwa pamoja nasi.+ Hatukuwasumbua,+ wala hakuna chochote chao ambacho kilipotea siku zote walizokuwa katika Karmeli.