1 Samweli 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nabali akawajibu hivi watumishi wa Daudi: “Daudi ni nani, na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wengi wanawatoroka mabwana zao.+ Zaburi 35:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wananilipa uovu kwa mema niliyotenda,+Na kunifanya nihisi kama mtu aliyefiwa.
10 Nabali akawajibu hivi watumishi wa Daudi: “Daudi ni nani, na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wengi wanawatoroka mabwana zao.+