Yeremia 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nilisema: “Sitamtaja tena, wala sitasema tena katika jina lake.”+ Na moyoni mwangu hali hiyo ikawa kama moto unaowaka ambao umefungiwa ndani ya mifupa yangu; nami nikachoka kujizuia, nami sikuweza kuivumilia.+
9 Nami nilisema: “Sitamtaja tena, wala sitasema tena katika jina lake.”+ Na moyoni mwangu hali hiyo ikawa kama moto unaowaka ambao umefungiwa ndani ya mifupa yangu; nami nikachoka kujizuia, nami sikuweza kuivumilia.+