Waamuzi 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na ikawa kwamba baada ya muda, katika siku za mavuno ya ngano, Samsoni akaenda kumtembelea mke wake akiwa na mwana-mbuzi.+ Basi akasema: “Nitaingia kwa mke wangu katika chumba cha ndani.”+ Na baba ya mwanamke huyo hakumruhusu kuingia.
15 Na ikawa kwamba baada ya muda, katika siku za mavuno ya ngano, Samsoni akaenda kumtembelea mke wake akiwa na mwana-mbuzi.+ Basi akasema: “Nitaingia kwa mke wangu katika chumba cha ndani.”+ Na baba ya mwanamke huyo hakumruhusu kuingia.