Mwanzo 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Akasema: “Mimi mwenyewe nitakuletea mwana-mbuzi kutoka katika kundi.” Lakini akasema: “Je, utatoa rehani mpaka utakapomleta?”+ 1 Samweli 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Yese akachukua punda, mkate na kiriba cha ngozi+ cha divai na mwana-mbuzi, na kuvituma kwa Sauli kwa mkono wa Daudi mwana wake.+ Luka 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Akamjibu, akamwambia baba yake, ‘Nimekutumikia kwa miaka mingi sana wala sijavunja amri yako hata mara moja, hata hivyo hujanipa mwana-mbuzi hata mara moja ili mimi nijifurahishe pamoja na rafiki zangu.+
17 Akasema: “Mimi mwenyewe nitakuletea mwana-mbuzi kutoka katika kundi.” Lakini akasema: “Je, utatoa rehani mpaka utakapomleta?”+
20 Basi Yese akachukua punda, mkate na kiriba cha ngozi+ cha divai na mwana-mbuzi, na kuvituma kwa Sauli kwa mkono wa Daudi mwana wake.+
29 Akamjibu, akamwambia baba yake, ‘Nimekutumikia kwa miaka mingi sana wala sijavunja amri yako hata mara moja, hata hivyo hujanipa mwana-mbuzi hata mara moja ili mimi nijifurahishe pamoja na rafiki zangu.+