Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini watu wasiofaa kitu+ wakasema: “Huyu atatuokoa vipi?”+ Basi wakamdharau,+ wala hawakumletea zawadi yoyote.+ Lakini yeye akaendelea kuwa kama mtu asiyeweza kusema.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Yehova akaendelea kuufanya imara ufalme mkononi mwake;+ na Yuda wote wakaendelea kumpa Yehoshafati zawadi,+ naye akawa na utajiri na utukufu mwingi.+

  • Methali 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Zawadi ni jiwe la thamani linaloleta kibali machoni pa yule aliye nayo.+ Kila mahali anapogeukia anafanikiwa.+

  • Methali 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Zawadi ya mwanadamu itamfungulia nafasi kubwa,+ nayo itamwongoza hata mbele ya watu wakuu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki