27 Lakini watu wasiofaa kitu+ wakasema: “Huyu atatuokoa vipi?”+ Basi wakamdharau,+ wala hawakumletea zawadi yoyote.+ Lakini yeye akaendelea kuwa kama mtu asiyeweza kusema.+
5 Na Yehova akaendelea kuufanya imara ufalme mkononi mwake;+ na Yuda wote wakaendelea kumpa Yehoshafati zawadi,+ naye akawa na utajiri na utukufu mwingi.+