Methali 17:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote anayezuia maneno yake ana ujuzi,+ na mtu mwenye utambuzi ana roho ya utulivu.+ Wagalatia 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 upole, kujizuia.+ Hakuna sheria juu ya mambo hayo.+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+