27 Lakini watu wasiofaa kitu+ wakasema: “Huyu atatuokoa vipi?”+ Basi wakamdharau,+ wala hawakumletea zawadi yoyote.+ Lakini yeye akaendelea kuwa kama mtu asiyeweza kusema.+
25 Nao walikuwa wakileta kila mmoja zawadi yake,+ vyombo vya fedha+ na vyombo vya dhahabu na mavazi na silaha+ na mafuta ya zeri, farasi na nyumbu,+ kama kawaida ya kila mwaka.+