17 Wala watu hawaweki divai mpya ndani ya viriba vya divai vilivyozeeka; lakini wakifanya hivyo, vile viriba hupasuka na ile divai humwagika navyo viriba huharibika.+ Bali watu huweka divai mpya ndani ya viriba vipya vya divai, na vitu vyote viwili huhifadhiwa.”+