Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Pia, hakuna mtu anayeweka divai mpya ndani ya viriba vya divai vilivyozeeka; akifanya hivyo, divai hupasua ngozi ya viriba hivyo, na divai hupotea na vilevile ngozi.+ Bali watu huweka divai mpya ndani ya viriba vipya vya divai.”+

  • Luka 5:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Zaidi ya hayo, hakuna anayeweka divai mpya ndani ya viriba vya divai vilivyozeeka; lakini akifanya hivyo, ndipo divai mpya itavipasua viriba vya divai,+ nayo itamwagika navyo viriba vya divai vitaharibika.+

  • Luka 5:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini divai mpya lazima iwekwe ndani ya viriba vipya vya divai.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki