Waamuzi 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya muda, wakati wa mavuno ya ngano, Samsoni alimchukua mwanambuzi na kwenda kumtembelea mke wake. Akasema: “Ningependa kuingia nikamwone mke wangu katika chumba cha kulala.”* Lakini baba ya mwanamke huyo hakumruhusu kuingia.
15 Baada ya muda, wakati wa mavuno ya ngano, Samsoni alimchukua mwanambuzi na kwenda kumtembelea mke wake. Akasema: “Ningependa kuingia nikamwone mke wangu katika chumba cha kulala.”* Lakini baba ya mwanamke huyo hakumruhusu kuingia.