18 Basi watu wa jiji wakamwambia siku ya saba kabla hajaenda katika chumba cha ndani:+
“Ni nini kilicho kitamu kuliko asali,
Na ni nini kilicho na nguvu kuliko simba?”+
Ndipo naye akawaambia:
“Kama hamngelima na ng’ombe wangu mchanga,+
Hamngekitegua kitendawili changu.”+