Waamuzi 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi siku ya saba kabla ya jua kutua,* wanaume wa jiji hilo wakamwambia hivi Samsoni: “Ni nini kitamu kuliko asali,Na ni nani mwenye nguvu kuliko simba?”+ Akawaambia: “Kama hamngelima na ng’ombe wangu mchanga,+Hamngekitegua kitendawili changu.” Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:18 Ufahamu, uku. 649
18 Basi siku ya saba kabla ya jua kutua,* wanaume wa jiji hilo wakamwambia hivi Samsoni: “Ni nini kitamu kuliko asali,Na ni nani mwenye nguvu kuliko simba?”+ Akawaambia: “Kama hamngelima na ng’ombe wangu mchanga,+Hamngekitegua kitendawili changu.”