Danieli 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Wa kwanza alikuwa kama simba,+ naye alikuwa na mabawa ya tai.+ Nikatazama mpaka mabawa yake yakang’olewa, akainuliwa kutoka duniani na kusimamishwa kwa miguu miwili kama mwanadamu, naye akapewa moyo wa mwanadamu. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 7:4 dp 131-132 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:4 Unabii wa Danieli, kur. 131-132 Mnara wa Mlinzi,10/1/1986, uku. 7
4 “Wa kwanza alikuwa kama simba,+ naye alikuwa na mabawa ya tai.+ Nikatazama mpaka mabawa yake yakang’olewa, akainuliwa kutoka duniani na kusimamishwa kwa miguu miwili kama mwanadamu, naye akapewa moyo wa mwanadamu.