Isaya 10:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye amepiga vichaka vya msitu kwa chombo cha chuma, na kwa mkono wa mwenye nguvu Lebanoni utaanguka.+ Ezekieli 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+
34 Naye amepiga vichaka vya msitu kwa chombo cha chuma, na kwa mkono wa mwenye nguvu Lebanoni utaanguka.+
3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+