25 Katika kila kichwa cha njia ulikijenga kilele+ chako nawe ukaanza kuufanya urembo wako kuwa chukizo+ na kumpanulia miguu yako kila mpita-njia+ na kuzidisha matendo yako ya ukahaba.+
18 “Naye akaendelea kufunua matendo yake ya ukahaba na kufunua uchi wake,+ hivi kwamba nafsi yangu ikageukia mbali kwa kuchukizwa isiandamane naye, kama vile nafsi yangu ilivyogeukia mbali kwa kuchukizwa isiandamane na dada yake.+