Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yehova alipoona hilo, ndipo akawadharau wao,+

      Kwa sababu ya usumbufu uliosababishwa na wanawe na binti zake.

  • Zaburi 78:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Mungu akasikia,+ akawa na ghadhabu,+

      Na kwa hiyo akachukia sana Israeli.+

  • Zaburi 106:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya watu wake;+

      Naye akaja kuuchukia urithi wake.+

  • Yeremia 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Urekebishwe,+ Ee Yerusalemu, ili nafsi yangu isije ikaondoka kwako ikiwa imechukizwa;+ ili nisije nikakuweka uwe mahame yenye ukiwa, nchi isiyokaliwa.”+

  • Yeremia 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba msituni. Yeye amepaaza sauti yake juu yangu. Ndiyo sababu nimemchukia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki