Kumbukumbu la Torati 32:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova alipoona hilo, ndipo akawadharau wao,+Kwa sababu ya usumbufu uliosababishwa na wanawe na binti zake. Zaburi 78:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Mungu akasikia,+ akawa na ghadhabu,+Na kwa hiyo akachukia sana Israeli.+ Zaburi 106:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na hasira ya Yehova ikaanza kuwaka juu ya watu wake;+Naye akaja kuuchukia urithi wake.+ Yeremia 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Urekebishwe,+ Ee Yerusalemu, ili nafsi yangu isije ikaondoka kwako ikiwa imechukizwa;+ ili nisije nikakuweka uwe mahame yenye ukiwa, nchi isiyokaliwa.”+ Yeremia 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba msituni. Yeye amepaaza sauti yake juu yangu. Ndiyo sababu nimemchukia.+
19 Yehova alipoona hilo, ndipo akawadharau wao,+Kwa sababu ya usumbufu uliosababishwa na wanawe na binti zake.
8 Urekebishwe,+ Ee Yerusalemu, ili nafsi yangu isije ikaondoka kwako ikiwa imechukizwa;+ ili nisije nikakuweka uwe mahame yenye ukiwa, nchi isiyokaliwa.”+
8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba msituni. Yeye amepaaza sauti yake juu yangu. Ndiyo sababu nimemchukia.+