Ezekieli 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Naye akaendelea kufunua matendo yake ya ukahaba na kufunua uchi wake,+ hivi kwamba nafsi yangu ikageukia mbali kwa kuchukizwa isiandamane naye, kama vile nafsi yangu ilivyogeukia mbali kwa kuchukizwa isiandamane na dada yake.+ Hosea 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ingawa wanalea wana wao, mimi pia nitawaondolea watoto wao hata kusiwe na mtu;+ kwa sababu—ole wao pia nitakapogeuka kutoka kwao!+
18 “Naye akaendelea kufunua matendo yake ya ukahaba na kufunua uchi wake,+ hivi kwamba nafsi yangu ikageukia mbali kwa kuchukizwa isiandamane naye, kama vile nafsi yangu ilivyogeukia mbali kwa kuchukizwa isiandamane na dada yake.+
12 Kwa maana ingawa wanalea wana wao, mimi pia nitawaondolea watoto wao hata kusiwe na mtu;+ kwa sababu—ole wao pia nitakapogeuka kutoka kwao!+