34 “‘Na wakati huo nchi italipa sabato zake siku zote za kukaa kwake ukiwa, huku ninyi mkiwa katika nchi ya adui zenu. Wakati huo nchi itashika sabato, kwa maana lazima ilipe sabato zake.+
15 Wana-simba wenye manyoya shingoni wananguruma+ juu yake; wametoa sauti zao.+ Nao wakaifanya nchi yake kuwa kitu cha kushangaza. Majiji yake yamewashwa moto, hivi kwamba hakuna mkaaji.+