Yeremia 4:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Nchi yote itakuwa mahame yenye ukiwa,+ na je, mimi sitafanya maangamizi kamili?+ Yeremia 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na nchi hii yote itakuwa mahali palipoharibiwa, kitu cha kushangaza, na mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babiloni miaka 70.”’+ Yeremia 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na hakika mashamba yatanunuliwa katika nchi hii+ ambayo ninyi mtakuwa mkisema: “Hiyo ni mahame yenye ukiwa+ yasiyo na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa. Imetiwa mkononi mwa Wakaldayo.”’+
27 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Nchi yote itakuwa mahame yenye ukiwa,+ na je, mimi sitafanya maangamizi kamili?+
11 Na nchi hii yote itakuwa mahali palipoharibiwa, kitu cha kushangaza, na mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babiloni miaka 70.”’+
43 Na hakika mashamba yatanunuliwa katika nchi hii+ ambayo ninyi mtakuwa mkisema: “Hiyo ni mahame yenye ukiwa+ yasiyo na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa. Imetiwa mkononi mwa Wakaldayo.”’+