21 ili kulitimiza neno la Yehova kupitia kinywa cha Yeremia,+ mpaka nchi ilipokuwa imelipa sabato zake.+ Siku zote za kukaa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+
11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+
11 Limefanywa kuwa mahame yenye ukiwa;+ limenyauka; limefanywa kuwa ukiwa kwangu.+ Nchi yote imefanywa kuwa ukiwa, kwa sababu hakuna mtu ambaye amelitia jambo hilo moyoni.+
28 Nami kwa kweli nitaifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa,+ naam, ukiwa, na fahari ya nguvu zake itakomeshwa+ na milima ya Israeli itafanywa ukiwa,+ pasipo mtu anayepita katikati.