22 Sikiliza! Habari! Tazama imekuja, pia mshindo mkubwa kutoka katika nchi ya kaskazini,+ ili kuyafanya majiji ya Yuda kuwa mahame yenye ukiwa, mapango ya mbwa-mwitu.+
11 Limefanywa kuwa mahame yenye ukiwa;+ limenyauka; limefanywa kuwa ukiwa kwangu.+ Nchi yote imefanywa kuwa ukiwa, kwa sababu hakuna mtu ambaye amelitia jambo hilo moyoni.+
13 Na ikawa kwamba mara tu nilipotoa unabii Pelatia mwana wa Benaya mwenyewe akafa,+ nami nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kubwa+ na kusema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!+ Je, utaangamiza mabaki ya Israeli?”+