7 Amepanda kama simba kutoka katika kichaka chake,+ na yule anayeyaangamiza mataifa ameondoka;+ ametoka mahali pake ili kuifanya nchi yako kuwa kitu cha kushangaza. Majiji yako yatabomoka hivi kwamba hakutakuwa na mkaaji.+
6 “Niliyakatilia mbali mataifa; minara yao ya pembeni ilifanywa ukiwa. Niliziharibu barabara zao, hivi kwamba hakuna yeyote aliyekuwa akipita kati. Majiji yao yalifanywa ukiwa, hivi kwamba hakukuwa na mtu yeyote wala mkaaji yeyote.+