Mambo ya Walawi 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo nchi haitawatapika ninyi kwa sababu ya kuitia kwenu unajisi kama vile itakavyoyatapika mataifa yaliyokuwa mbele yenu.+ Isaya 37:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tazama! Wewe mwenyewe umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru walizitendea nchi zote kwa kuziangamiza,+ na je, wewe mwenyewe utakombolewa?+ Yeremia 25:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+
28 Ndipo nchi haitawatapika ninyi kwa sababu ya kuitia kwenu unajisi kama vile itakavyoyatapika mataifa yaliyokuwa mbele yenu.+
11 Tazama! Wewe mwenyewe umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru walizitendea nchi zote kwa kuziangamiza,+ na je, wewe mwenyewe utakombolewa?+
33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+