13 Je, ninyi hamjui yale ambayo mimi mwenyewe na mababu zangu tulivitendea vikundi vyote vya watu wa nchi?+ Je, miungu+ ya mataifa ya zile nchi iliweza kukomboa hata kidogo nchi yao kutoka mkononi mwangu?
18 ili Hezekia asiwashawishi ninyi,+ akisema, ‘Yehova mwenyewe atatukomboa.’ Je, kila mmoja wa miungu ya mataifa ameikomboa nchi yake mwenyewe kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?+