Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, ninyi hamjui yale ambayo mimi mwenyewe na mababu zangu tulivitendea vikundi vyote vya watu wa nchi?+ Je, miungu+ ya mataifa ya zile nchi iliweza kukomboa hata kidogo nchi yao kutoka mkononi mwangu?

  • Isaya 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 je, haitakuwa kwamba kama vile nilivyolitendea Samaria na miungu yake isiyo na thamani,+ ndivyo nitakavyolitendea Yerusalemu na sanamu zake?’+

  • Isaya 36:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili Hezekia asiwashawishi ninyi,+ akisema, ‘Yehova mwenyewe atatukomboa.’ Je, kila mmoja wa miungu ya mataifa ameikomboa nchi yake mwenyewe kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki