-
2 Wafalme 18:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 mpaka nije na kuwachukua ninyi na kwa kweli niwapeleke katika nchi iliyo kama nchi yenu wenyewe,+ nchi yenye nafaka na divai mpya, nchi yenye mkate+ na mashamba ya mizabibu,+ nchi yenye mizeituni ya mafuta na asali;+ nanyi mwendelee kuishi, msije mkafa. Nanyi msimsikilize Hezekia, kwa maana anawashawishi ninyi, akisema, ‘Yehova mwenyewe atatukomboa.’+
-