Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa, naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kati ya miungu yote ya mataifa hayo ambayo mababu zangu waliangamiza ni nani aliyeweza kuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu, hivi kwamba Mungu wenu aweze kuwakomboa ninyi kutoka mkononi mwangu?+

  • Isaya 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 je, haitakuwa kwamba kama vile nilivyolitendea Samaria na miungu yake isiyo na thamani,+ ndivyo nitakavyolitendea Yerusalemu na sanamu zake?’+

  • Isaya 37:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa,+ naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki