12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa, naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?+
14 Kati ya miungu yote ya mataifa hayo ambayo mababu zangu waliangamiza ni nani aliyeweza kuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu, hivi kwamba Mungu wenu aweze kuwakomboa ninyi kutoka mkononi mwangu?+
12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa,+ naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?