3 watu ambao washiriki wake ni wale wanaonitia uchungu+ mbele za uso wangu daima, wakiwa wanatoa dhabihu katika bustani+ na kufukiza moshi wa dhabihu+ juu ya matofali,
17 Wale wanaojitakasa na kujisafisha kwa ajili ya bustani+ zilizo nyuma ya mtu katikati, wakila nyama ya nguruwe+ na kitu chenye kuchukiza, panya anayeruka,+ wote wataufikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.