Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Walianza kumchochea awe na wivu+ kwa miungu migeni;+

      Kwa mambo yenye kuchukiza waliendelea kumtia uchungu.+

  • 2 Wafalme 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 nao wakaendelea kuwapitisha motoni+ wana wao na binti zao na kufanya uaguzi+ na kutafuta ishara za bahati,+ nao wakaendelea kujiuza+ ili kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, ili kumtia uchungu;+

  • 2 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu wameniacha na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine+ ili kunitia uchungu kwa kazi zote za mikono yao,+ na ghadhabu yangu imewashwa juu ya mahali hapa wala haitazimwa.’”’+

  • Yeremia 32:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na Wakaldayo wanaopiga vita juu ya jiji hili wataingia ndani na kuliwasha jiji hili na kuliteketeza kwa moto+ na nyumba ambazo juu ya paa zake wamemfukizia Baali moshi wa dhabihu na kuimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji kwa kusudi la kunitia uchungu.’+

  • Yeremia 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Yuda wamekuwa tu watendaji wa mambo mabaya machoni pangu, tangu ujana wao na kuendelea;+ kwa maana wana wa Israeli pia wananitia uchungu kwa kazi za mikono yao,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki