-
Ezekieli 16:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 “ ‘Nami nikaja nikipita kando yako nikakuona, na, tazama! wakati wako ulikuwa wakati wa maonyesho ya upendo.+ Kwa hiyo nikatandaza upindo wa nguo yangu juu yako+ na kuufunika utupu wako na kukutolea ahadi yenye kiapo na kuingia katika agano pamoja nawe,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘na kwa hiyo ukawa wangu.+
-
-
Ezekieli 20:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Nami nikawaleta katika nchi+ ambayo nilikuwa nimeuinua mkono wangu katika kiapo kwamba nitawapa wao.+ Walipoona kila kilima kilichoinuka+ na kila mti wenye matawi mengi, ndipo wakaanza kutoa dhabihu+ zao huko na kutolea huko matoleo yao yenye kuudhi, na kutolea huko harufu zao za kutuliza+ na kumimina huko matoleo yao ya kinywaji.+
-