25 kwa sababu wameniacha+ na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine,+ ili kunitia uchungu+ kwa matendo yote ya mikono yao,+ na ili ghadhabu+ yangu imwagike juu ya mahali hapa wala isizimwe.’”+
3 Ni kwa sababu ya ubaya wao ambao walifanya ili kunitia uchungu kwa kwenda kufukiza moshi wa dhabihu+ na kutoa utumishi kwa miungu mingine ambayo wao hawakuijua, wala ninyi wala mababu zenu.+