Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ikiwa ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako au binti yako au mke wako mpendwa au mwenzako aliye kama nafsi yako mwenyewe,+ atajaribu kukushawishi kwa siri, akisema, ‘Twende tukaitumikie miungu mingine,’+ ambayo hukuijua, wewe wala mababu zako,

  • Kumbukumbu la Torati 29:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nao walienda na kuitumikia miungu mingine na kuiinamia, miungu ambayo hawakuwa wameijua naye hakuwa amewapa.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Waliwatolea dhabihu roho waovu, wala si Mungu,+

      Miungu ambayo hawakuijua,+

      Mipya iliyokuja hivi karibuni,+

      Ambayo mababu zenu hawakuifahamu.

  • Yeremia 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa sababu wameniacha+ mimi nao wamepafanya mahali hapa pasitambuliwe+ na kufukiza moshi wa dhabihu ndani yake kwa miungu mingine ambayo hawakuijua,+ wao pamoja na mababu zao na wafalme wa Yuda; nao wamepajaza mahali hapa damu ya wasio na hatia.+

  • Yeremia 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao watasema: “Kwa sababu wameliacha agano la Yehova Mungu+ wao na kuinamia miungu mingine na kuitumikia.”’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki