5 ili kwamba wana wa Israeli walete dhabihu zao, wanazozitoa dhabihu katika uwanja,+ nao watazileta kwa Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa kuhani,+ nao watatoa dhabihu hizo zikiwa dhabihu za ushirika kwa Yehova.+
17 Wale wanaojitakasa na kujisafisha kwa ajili ya bustani+ zilizo nyuma ya mtu katikati, wakila nyama ya nguruwe+ na kitu chenye kuchukiza, panya anayeruka,+ wote wataufikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.