Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ili kwamba wana wa Israeli walete dhabihu zao, wanazozitoa dhabihu katika uwanja,+ nao watazileta kwa Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa kuhani,+ nao watatoa dhabihu hizo zikiwa dhabihu za ushirika kwa Yehova.+

  • Isaya 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana wataona aibu kwa sababu ya miti yenye nguvu ambayo ninyi mliitamani,+ nanyi mtafedheheka kwa sababu ya bustani ambazo mmechagua.+

  • Isaya 66:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wale wanaojitakasa na kujisafisha kwa ajili ya bustani+ zilizo nyuma ya mtu katikati, wakila nyama ya nguruwe+ na kitu chenye kuchukiza, panya anayeruka,+ wote wataufikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki